Do you think Tanzania could be next?To have female president
Liberia! did it why not Tanzania , We have people like Gertrude Mongella's even Anna Mkapa lol!!!! To old heee
Mama Bongo!!!
How I dream of a Tanzania, led by a woman!!! With more women earning seats in parliament, I see light at the end of a long, long, dark tunnel. . . . . Wanawake Juu!!!
Essy
NO, unless Bibi Siti mwinyi running candidate................ there is no chance for a female president
BARAZA LA MAWAZIRI OFISI YA RAIS 1.Waziri wa Nchi – Menejimenti ya Utumishi wa Umma Hawa Abdulrahman Ghasia (Mb) 2. Wizara ya Nchi – Utawala Bora Philip Sang’ka Marmo (Mb) 3. Wizara ya Nchi – Siasa na Uhusiano wa Jamii Kingunge Ngombale Mwiru (Mb) OFISI YA MAKAMU WA RAIS 4. Waziri wa Nchi – Muungano Dkt. Hussein Ali Mwinyi (Mb) 5. Wizara ya Nchi – Mazingira Prof. Mark James Mwandosya (Mb) OFISI YA WAZIRI MKUU 6. Waziri wa Nchi – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mizengo Kayanza Peter Pinda (Mb) 7. Waziri wa Nchi – Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge) Juma Jamaldin Akukweti (Mb) WIZARA ZINAZOJITEGEMEA 8. Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Asha-Rose Mtengeti Migiro (Mb) 9. Ushirikiano wa Afrika Mashariki Andrew John Chenge (Mb) 10. Fedha Zakia Hamdani Meghji (Mb) 11. Mipango, Uchumi na Uwezeshaji Dkt. Juma Alifa Ngasongwa (Mb) 12. Viwanda, Biashara na Masoko Nazir Mustafa Karamagi (Mb) 13. Kilimo, Chakula na Ushirika Joseph James Mungai (Mb) 14. Maliasili na Utalii Anthony Mwandu Diallo (Mb) 15. Maji Stephen Masatu Wassira (Mb) 16. Nishati na Madini Dkt. Ibrahim Said Msabaha (Mb) 17. Miundombinu (what the hell is miundombinu? Strategy??) Basil Pesambili Mramba (Mb) 18. Afya na Ustawi na Jamii Prof. David Homeli Mwakyusa (Mb) 19. Elimu na Mafunzo ya Ufundi Margareth Simwanza Sitta (Mb) 20. Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia Prof. Peter Mahmoud Msolla (Mb) 21. Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana Prof. Jumanne Abdallah Maghembe (Mb) 22. Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi John Pombe Joseph Magufuli (Mb) 23. Habari, Utamaduni na Michezo Muhammed Seif Khatib (Mb) 24. Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Prof. Juma Athumani Kapuya (Mb) 25. Usalama wa Raia Harith Bakari Mwapachu (Mb) 26. Mambo ya Ndani Capt. John Zefania Chiligati (Mb) 27. Katiba na Sheria Dkt. Mary Michael Nagu (Mb) 28. Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Sofia Mnyambi Simba (Mb) 29. Maendeleo ya Mifugo Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa (Mb) MANAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU 30. Maafa na Kampeni Dhidi ya Ukimwi Dkt. Luka Jelas Siyame (Mb) 31. Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Celina Ompeshi Kombani (Mb) MANAIBU KWENYE WIZARA ZINAZOJITEGEMEA 32. Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Seif Ali Iddi (Mb) Dkt. Cyril August Chami (Mb) 34. Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki Dr. Diodorus Buberwa Kamala (Mb) 35. Fedha Abdisalaam Issa Khatib (Mb) Mustafa Haidi Mkulo (Mb) 37. Mipango, Uchumi na Uwezeshaji Salome Joseph Mbatia (Mb) 38. Viwanda, Biashara na Masoko Dkt. David Mathayo David (Mb) 39. Kilimo, Chakula na Ushirika Christopher Kajoro Chizza (Mb) Hezekiah Ndahani Chibulunje (Mb) 41. Nishati na Madini Mheshimiwa Lawrence Kego Masha (Mb) 42. Miundombinu Dkt. Maua Abeid Daftari (Mb) Dkt. Milton Makongoro Mahanga (Mb) 44. Maji Shamsa Selengia Mwangunga (Mb) 45. Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Aisha Omar Kigoda (Mb) 46. Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mwantumu Bakari Mahiza (Mb) Ludovick John Mwananzila (Mb) 48. Elimu ya Juu, Sayansi na Tekinolojia Gaudensia Mugosi Kabaka (Mb) 49. Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana na Kazi Jeremia Solomon Sumari (Mb)- Vijana na kazi Daniel Nicodem Nsanzungwako (Mb) - Ajira 51. Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Rita Louise Mlaki (Mb) 52. Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Dkt. Batilda Salha Burian (Mb) 53. Usalama wa Raia Mohamed Aboud (Mb) 54. Mambo ya Ndani Bernard Kamillius Membe (Mb) 55. Maendeleo ya Mifugo Dkt. Charles Ogessa Mlingwa (Mb) 56. Maliasili na Utalii Zabein Muhaji Mhita (Mb) 57. Habari, Utamaduni na Michezo Dkt. Emmanuel John Nchimbi (Mb) 58. Michezo Joel Nkaya Bendera (Mb) 59. Sheria na Mambo ya Katiba Mathias Meinrad Chikawe (Mb) 60. Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Omar Yussuf Mzee (Mb) IKULU, DAR ES SALAAM 4 Januari, 2006
WHAT THAT TELL YOU GUY.. I MEAN YOU STEVE
Could it be that Kikwete is only trying to appease women (a large percentage of the population) by incorporating more women in his cabinet, in order to secure their votes in case he decides to run for another term in office? In. . I scratch your back, you scratch mine, kind of manner. Just wondering....