Home
Tanzanian Stories
World News
Events
Classifieds
Photo Gallery
Downloads
Discussion Forum
Career Services
Links
Tanzania Safari
Powers Bongo Corner Porojo Page Politics
About Tanzania
National Park’s In Tanzania
Tanzania cities
Michuzi corner
Login Register
Shopping Cart
site designed and
developed by eIQ.net
Home > Powers Bongo Corner > Porojo Page

Mkapa aongea na Mungu

Friday, August 19, 2005 (UMST)

Mkapa, Tony Blair na Clinton walikuwa wamekaa barazani wanaongea

Mkapa, Tony Blair na Clinton walikuwa wamekaa barazani wanaongea. Mara mungu akatokea. Akawaambia kuwa atawapa wote nafasi ya kuuliza swali moja tu kila mmoja.

Blair: Oh God, nchi yangu itabadilika na kuwa nzuri zaidi kweli? Mungu: Siyo katika maisha yako. labda viongozi watatu wajao ndiyo wataweza kurudisha nchi hii ifikie ule wakati Uingereza ilipokuwa ikitawala dunia.

Clinton: My lord, God, nimeshastaafu, lakini nchi yangu itakaa ibadilike kweli? Ningependa watu waache kufuatilia maisha binafsi ya watu. Watu waache umbeya usiofaa. Na waislamu waache kutuchukia sisi wamarekani bure. Mungu: Siyo mwaka huu au ujao, wala siyo katika maisha yako wewe. Nchi yako labda baada ya marais wengine sita.

Mkapa: Mnyaaazi mungu muumba wa yote. Lini nchi yangu itabadilika na kuwa tajiri isiyotegemea misaada wala kutokuwa na viongozi wanaoibia wananchi?? Mungu: Siyo katika maisha yangu mimi!


Add Your Comment

 
All content on this site is copywright by its respective owner.
All rights reserved. © 2005 mbongo.com  |  Terms of Use  |  Privacy Policy